Damiani Mushi

Damiani Mushi agriculture Baba

04/12/2024
Camanda Muliro, HONGERA kwa kazi nzuri, lkn bado hujafika mbali zaidi kwa watekaji na wauaji wa viongozi mbali mbali ila...
04/12/2024

Camanda Muliro, HONGERA kwa kazi nzuri, lkn bado hujafika mbali zaidi kwa watekaji na wauaji wa viongozi mbali mbali ila hao hao wachunguze kwani wanaweza wakaka ni kundi moja hilo hilo

02/12/2024

๐Ÿ“Œ Namba za Feisal msimu huu mpaka

๐ŸŽฎMichezo 13
โšฝ๏ธ Mabao 4
๐ŸŽฏ Assist 5
โ›ณ Jumla amehusika katika mabao 9

๐Ÿ“Œ Kwa wazawa Feisal ndiyo mchezaji aliyehusika kwenye mabao mengi kwenye ligi kuu soka Tanzania bara (NBCPL)

๐Ÿ“Œ kiujumla Fei analingana na Jean Ahoua wa Simba ambaye pia amehusika kwenye mabao 9 akifunga (5) na kutengeneza (4)

๐Ÿ“ŒJe msimu huu ushindi ni wa Fei na Ahoua ?


02/12/2024
02/12/2024

ALIYEKUWA Kocha wa Singida Black Stars, Patrick Aussems amewashukia waajiri wake hao wa zamani kwa kuwaita watu wasio na weledi.
-
Katika maelezo yake kwenye mtandao wake wa kijamii wa Instagram, Aussems amesema kilichomng'oa yeye na Msaidizi wake, Dennis Katambi klabuni hapo si matokeo mabaya bali kutoelewana na uongozi klabuni humo.
-
Kocha huyo ameongeza kwa kuwashukuru Watanzania kwa mapenzi waliyompa katika muda aliokuwa hapa nchini huku akionesha kushangazwa na ukarimu wa mashabiki wa Simba pamoja na wengine.
-
Soma zaidi katika Website ya SpotiLeo https://spotileo.co.tz/
-

02/12/2024
Nyumba kwanza, ili nipate eneo la kuhifadhi gari yenyewe
02/12/2024

Nyumba kwanza, ili nipate eneo la kuhifadhi gari yenyewe

02/12/2024
02/12/2024

Address

Mbezi/sakuzi
Dar Es Salaam
NILL

Telephone

+255747810968

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Damiani Mushi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Damiani Mushi:

Share