17/09/2025
📍 MIKOANI – Kwa Wateja Wetu Wote Tanzania 🇹🇿*
Tunatuma magodoro kwa mikoa yote Tanzania kupitia *agents waliothibitishwa na waaminifu.*
✅ *Hutalipa kabla ya mzigo kufika!*
Utalipa *pale pale* mzigo unavyokufikia – salama na kwa uaminifu.
📦 *Hatua Rahisi za Kupata Godoro Lako:*
1. Chagua godoro (size & inch) unalotaka.
2. Tuma taarifa zako: *Jina, Mji/Mkoa, Namba ya simu, Kituo cha kupokea mzigo.*
3. Tunakutumia picha ya mzigo, risiti, na jina/namba ya dereva au agent.
4. Mzigo unapokufikia, *unalipa ndipo unachukua.*
🚛 *Usafiri ni salama, wa kuaminika na unadhibitiwa.*
*🤝 MAELEKEZO KWA AGENTS:*
- Mzigo unakabidhiwa kwa mteja *BAADA ya malipo kamili.*
- Malipo yanatumwa kwetu moja kwa moja au kwa njia tuliyokubaliana.
-🛏️ *Nunua kwa amani, lipa kwa uaminifu. Tunakuletea hadi ulipo!*