07/03/2025
Picha ya pamoja baada ya Kikao kazi Cha viongozi kutoka vyuo na vyuo vikuu mkoa wa dares salaam mabibo eneo la mabiboo mwishoo katika Chuo Cha Taifa Cha usafirishaji NIT. Kupambana na rushwa ni jukumu la Kila mtanzania,
Karibu tuungane tupambana na rushwa maana ni adui wa maendeleo.