09/11/2025
Mnakumbuka siku za nyuma kuna account za Facebook zilikuwa zinahackiwa sasahiv wanazitumia kulchochea machafuko. Tusiwe wajinga wakukubali vita kwa maslahi wa watu binafsi wanachochea wenyewe wametulia ila wewe unaenda kuandamana nchi yetu ya amani tudumishe amani mungu tusimamie